10. mfalme wa Yerusalemu, mmoja; mfalme wa Hebroni, mmoja;
11. mfalme wa Yarmuthi, mmoja; na mfalme wa Lakishi, mmoja;
12. mfalme wa Egloni, mmoja; na mfalme wa Gezeri, mmoja;
13. mfalme wa Debiri, mmoja; na mfalme wa Gederi, mmoja;
14. mfalme wa Horma, mmoja; na mfalme wa Aradi, mmoja;
15. mfalme wa Libna, mmoja; na mfalme wa Adulamu, mmoja;
16. mfalme wa Makeda, mmoja; na mfalme wa Betheli, mmoja;
17. mfalme wa Tapua, mmoja; na mfalme wa Heferi, mmoja;
18. mfalme wa Afeka, mmoja; na mfalme wa Lasharoni, mmoja;
19. mfalme wa Madoni, mmoja; na mfalme wa Hazori, mmoja;
20. mfalme wa Shimron-meroni, mmoja; na mfalme wa Akshafu, mmoja;
21. mfalme wa Taanaki, mmoja; na mfalme wa Megido, mmoja;
22. na mfalme wa Kedeshi, mmoja; mfalme wa Yokneamu wa Karmeli, mmoja;
23. mfalme wa Dori katika kilima cha Dori, mmoja; na mfalme wa makabila katika Gilgali, mmoja;
24. na mfalme wa Tirsa, mmoja; wafalme hao wote walikuwa ni thelathini na mmoja.