Yos. 1:9 Swahili Union Version (SUV)

Je! Si mimi niliyekuamuru? Uwe hodari na moyo wa ushujaa; usiogope wala usifadhaike; kwa kuwa BWANA, Mungu wako, yu pamoja nawe kila uendako.

Yos. 1

Yos. 1:8-17