Yoe. 2:8 Swahili Union Version (SUV)

Wala hapana mmoja amsukumaye mwenzake; huendelea mbele kila mmoja katika njia yake; hujifanyizia njia kwa nguvu kati ya silaha, wala hawaachi kuifuata njia yao.

Yoe. 2

Yoe. 2:2-11