Yn. 7:39 Swahili Union Version (SUV)

Na neno hilo alilisema katika habari ya Roho, ambaye wale wamwaminio watampokea baadaye; kwa maana Roho alikuwa hajaja, kwa sababu Yesu alikuwa hajatukuzwa.

Yn. 7

Yn. 7:35-42