5. Basi Yesu alipoinua macho yake akaona mkutano mkuu wanakuja kwake, alimwambia Filipo, Tununue wapi mikate, ili hawa wapate kula?
6. Na hilo alilinena ili kumjaribu; kwa maana alijua mwenyewe atakalotenda.
7. Filipo akamjibu, Mikate ya dinari mia mbili haiwatoshi, kila mmoja apate kidogo tu.
8. Wanafunzi wake mmojawapo, Andrea, nduguye Simoni Petro, akamwambia,