Yn. 6:1-3 Swahili Union Version (SUV)

1. Baada ya hayo Yesu alikwenda zake ng’ambo ya Bahari ya Galilaya, nayo ndiyo ya Tiberia.

2. Na mkutano mkuu wakamfuata, kwa sababu waliziona ishara alizowafanyia wagonjwa.

3. Naye Yesu akakwea mlimani, akaketi huko pamoja na wanafunzi wake.

Yn. 6