29. Njoni, mtazame mtu aliyeniambia mambo yote niliyoyatenda. Je! Haimkini huyu kuwa ndiye Kristo?
30. Basi wakatoka mjini, wakamwendea.
31. Huko nyuma wanafunzi wakamsihi wakisema, Rabi, ule.
32. Akawaambia, Mimi ninacho chakula msichokijua ninyi.
33. Basi wanafunzi wake wakasemezana, Je! Mtu amemletea chakula?