Yn. 21:16 Swahili Union Version (SUV)

Akamwambia tena mara ya pili, Simoni wa Yohana, wanipenda? Akamwambia, Ndiyo, Bwana, wewe wajua kuwa nakupenda. Akamwambia, Chunga kondoo zangu.

Yn. 21

Yn. 21:13-17