Yn. 20:26 Swahili Union Version (SUV)

Basi, baada ya siku nane, wanafunzi wake walikuwamo ndani tena, na Tomaso pamoja nao. Akaja Yesu, na milango imefungwa, akasimama katikati, akasema, Amani iwe kwenu.

Yn. 20

Yn. 20:21-31