Yn. 15:21-23 Swahili Union Version (SUV)

21. Lakini haya yote watawatenda kwa ajili ya jina langu, kwa kuwa hawamjui yeye aliyenipeleka.

22. Kama nisingalikuja na kusema nao, wasingalikuwa na dhambi; lakini sasa hawana udhuru kwa dhambi yao.

23. Yeye anichukiaye mimi humchukia na Baba yangu.

Yn. 15