Yn. 14:1-2 Swahili Union Version (SUV)

1. Msifadhaike mioyoni mwenu; mnamwamini Mungu, niaminini na mimi.

2. Nyumbani mwa Baba yangu mna makao mengi; kama sivyo, ningaliwaambia; maana naenda kuwaandalia mahali.

Yn. 14