Yn. 13:17-19 Swahili Union Version (SUV)

17. Mkiyajua hayo, heri ninyi mkiyatenda.

18. Sisemi habari za ninyi nyote; nawajua wale niliowachagua; lakini andiko lipate kutimizwa,Aliyekula chakula changuAmeniinulia kisigino chake.

19. Tangu sasa nawaambia kabla hayajatukia, ili yatakapotukia mpate kuamini ya kuwa mimi ndiye.

Yn. 13