Yn. 11:51 Swahili Union Version (SUV)

Na neno hilo yeye hakulisema kwa nafsi yake; bali kwa kuwa alikuwa Kuhani Mkuu mwaka ule, alitabiri ya kwamba Yesu atakufa kwa ajili ya taifa hilo.

Yn. 11

Yn. 11:46-57