Yn. 1:7-9 Swahili Union Version (SUV)

7. Huyo alikuja kwa ushuhuda, ili aishuhudie ile nuru, wote wapate kuamini kwa yeye.

8. Huyo hakuwa ile nuru, bali alikuja ili aishuhudie ile nuru.

9. Kulikuwako Nuru halisi, amtiaye nuru kila mtu, akija katika ulimwengu.

Yn. 1