Yn. 1:45 Swahili Union Version (SUV)

Filipo akamwona Nathanaeli, akamwambia, Tumemwona yeye aliyeandikiwa na Musa katika torati, na manabii, Yesu, mwana wa Yusufu, mtu wa Nazareti.

Yn. 1

Yn. 1:35-48