36. Akamtazama Yesu akitembea, akasema, Tazama, Mwana-kondoo wa Mungu!
37. Wale wanafunzi wawili wakamsikia akinena, wakamfuata Yesu.
38. Yesu aligeuka, akawaona wakimfuata, akawaambia, Mnatafuta nini? Wakamwambia, Rabi, (maana yake, Mwalimu), unakaa wapi?