Yer. 8:7 Swahili Union Version (SUV)

Naam, koikoi angani ajua nyakati zake zilizoamriwa; na hua na mbayuwayu na korongo huangalia wakati wa kuja kwao; bali watu wangu hawazijui amri za BWANA.

Yer. 8

Yer. 8:1-15