Yer. 6:10 Swahili Union Version (SUV)

Niseme na nani na kushuhudia, wapate kusikia? Tazama, sikio lao halikutahiriwa, wala hawawezi kusikiliza; tazama, neno la BWANA limekuwa matukano kwao; hawalifurahii.

Yer. 6

Yer. 6:2-19