Yer. 51:6 Swahili Union Version (SUV)

Kimbieni kutoka kati ya Babeli, kila mtu na ajiokoe nafsi yake; msikatiliwe mbali katika uovu wake; maana ni wakati wa kisasi cha BWANA, atamlipa malipo.

Yer. 51

Yer. 51:2-12