Yer. 51:58 Swahili Union Version (SUV)

BWANA wa majeshi asema hivi, Kuta pana za Babeli zitabomolewa kabisa, na malango yake marefu yatateketezwa; nao watu watajitaabisha kwa ubatili, na mataifa kwa moto; nao watachoka.

Yer. 51

Yer. 51:56-64