Yer. 51:47 Swahili Union Version (SUV)

Basi angalia, siku zitakuja, ambazo katika siku hizo, nitafanya hukumu juu ya sanamu za Babeli, na nchi yake yote itatahayarika; na watu wake wote waliouawa wataanguka katikati yake.

Yer. 51

Yer. 51:45-50