Yer. 51:42-44 Swahili Union Version (SUV)

42. Bahari imefika juu ya Babeli,Umefunikwa kwa wingi wa mawimbi yake.

43. Miji yake imekuwa maganjo;Nchi ya ukame, na jangwa;Nchi asimokaa mtu ye yote,Wala hapiti mwanadamu huko.

44. Nami nitafanya hukumu juu ya Beli katika Babeli, nami nitavitoa katika kinywa chake alivyovimeza; wala mataifa hawatamwendea tena; naam, ukuta wa Babeli utaanguka.

Yer. 51