Yer. 50:7 Swahili Union Version (SUV)

Watu wote waliowaona wamewala; na adui zao walisema, Sisi hatuna hatia, kwa kuwa hao wametenda dhambi juu ya BWANA, aliye kao la haki, yaani, BWANA, tumaini la baba zao.

Yer. 50

Yer. 50:1-12