Yer. 50:17 Swahili Union Version (SUV)

Israeli ni kondoo aliyetawanywa; simba wamemfukuzia mbali; kwanza mfalme wa Ashuru amemla, na mwisho Nebukadreza huyu, mfalme wa Babeli, amemvunja mifupa yake.

Yer. 50

Yer. 50:14-21