Yer. 49:32 Swahili Union Version (SUV)

Na ngamia zao watakuwa mateka, na wingi wa makundi yao utakuwa nyara; nami nitawatawanya hata pepo zote watu wale wanyoao denge; nami nitaleta msiba wao toka pande zao zote, asema BWANA.

Yer. 49

Yer. 49:24-39