Yer. 49:28 Swahili Union Version (SUV)

Habari za Kedari, na za falme za Hazori, ambazo Nebukadreza, mfalme wa Babeli, alizipiga. BWANA asema hivi, Ondokeni, pandeni hata Kedari, mkawateke nyara wana wa mashariki.

Yer. 49

Yer. 49:25-31