Yer. 46:25 Swahili Union Version (SUV)

BWANA wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi, Tazama, nitamwadhibu Amoni wa No, na Farao, na Misri, pamoja na miungu yake, na wafalme wake, naam, Farao, na hao wanaomtumainia;

Yer. 46

Yer. 46:15-28