Yer. 46:18 Swahili Union Version (SUV)

Kama mimi niishivyo, asema Mfalme, ambaye jina lake ni BWANA wa majeshi, hakika yake, kama Tabori katika milima, na kama Karmeli karibu na bahari, ndivyo atakavyokuja.

Yer. 46

Yer. 46:15-23