Yer. 43:12 Swahili Union Version (SUV)

Nami nitawasha moto katika nyumba za miungu ya Misri, na kuziteketeza, na kuwachukua mateka; naye atajipamba kwa nchi ya Misri, kama vile mchungaji avaavyo nguo zake; naye atatoka huko na amani.

Yer. 43

Yer. 43:9-13