Yer. 42:6 Swahili Union Version (SUV)

Likiwa jema, au likiwa baya, sisi tutaitii sauti ya BWANA, Mungu wetu, ambaye tunakutuma kwake; ipate kuwa faida yetu, tunapoitii sauti ya BWANA, Mungu wetu.

Yer. 42

Yer. 42:1-7