Yer. 42:15 Swahili Union Version (SUV)

basi, lisikieni neno la BWANA, enyi mabaki ya Yuda; BWANA wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi, Ikiwa mwakaza nyuso zenu kuingia Misri, na kwenda kukaa huko;

Yer. 42

Yer. 42:12-18