Yer. 4:2 Swahili Union Version (SUV)

nawe utaapa hivi, Kama BWANA aishivyo, katika kweli, na katika hukumu, na katika haki ndipo mataifa watajibariki katika yeye, nao watajitukuza katika yeye.

Yer. 4

Yer. 4:1-7