Yer. 38:20 Swahili Union Version (SUV)

Lakini Yeremia akasema, La! Hawatakutoa. Nakusihi, uitii sauti ya BWANA katika hayo ninayokuambia; ndivyo itakavyokufaa, na nafsi yako utaishi.

Yer. 38

Yer. 38:13-28