Yer. 37:20 Swahili Union Version (SUV)

Na sasa unisikilize, Ee bwana wangu mfalme; maombi yangu yakapate kibali mbele yako; usinirudishe nyumbani mwa Yonathani, mwandishi, nisije nikafa humo.

Yer. 37

Yer. 37:16-21