Yer. 36:7 Swahili Union Version (SUV)

Labda wataomba dua zao mbele za BWANA, na kurudi, kila mtu akiiacha njia yake mbaya; kwa maana hasira na ghadhabu ni kuu sana, alizotamka BWANA juu ya watu hawa.

Yer. 36

Yer. 36:1-15