Yer. 36:4 Swahili Union Version (SUV)

Kisha Yeremia akamwita Baruku, mwana wa Neria; naye Baruku akaandika katika gombo la chuo maneno yote ya BWANA, yaliyotoka kinywani mwa Yeremia, ambayo BWANA amemwambia.

Yer. 36

Yer. 36:1-9