Yer. 34:8 Swahili Union Version (SUV)

Neno hili ndilo lililomjia Yeremia, kutoka kwa BWANA, baada ya wakati ule mfalme Sedekia alipofanya agano na watu wote waliokuwa katika Yerusalemu, kuwatangazia habari ya uhuru;

Yer. 34

Yer. 34:1-12