Yer. 34:18 Swahili Union Version (SUV)

Na watu hao waliolivunja agano langu, wasioyatimiza maneno ya agano lile, walilolifanya mbele zangu, wakati ule walipomkata ndama vipande viwili, wakapita katikati ya vipande vile;

Yer. 34

Yer. 34:11-22