Yer. 34:10 Swahili Union Version (SUV)

na wakuu wote, na watu wote, wakati, waliofanya agano hilo, ya kwamba kila mtu amweke huru mtumwa wake na mjakazi wake, mtu ye yote asiwatumikishe tena; wakatii, wakawaacha.

Yer. 34

Yer. 34:7-20