Yer. 33:8 Swahili Union Version (SUV)

Nami nitawasafisha na uovu wao wote, ambao kwa huo wamenitenda dhambi; nami nitawasamehe maovu yao yote, ambayo kwayo wamenitenda dhambi, na kukosa juu yangu.

Yer. 33

Yer. 33:7-12