Yer. 33:22 Swahili Union Version (SUV)

Kama vile jeshi la mbinguni haliwezi kuhesabiwa, wala mchanga wa bahari kupimwa; ndivyo nitakavyoongeza wazao wa Daudi, mtumishi wangu, na Walawi wanaonihudumia.

Yer. 33

Yer. 33:15-26