Yer. 32:7 Swahili Union Version (SUV)

Tazama, Hanameli, mwana wa Shalumu, mjomba wako, atakujia, akisema, Jinunulie shamba langu lililoko Anathothi; maana haki ya ukombozi ni yako, ulinunue.

Yer. 32

Yer. 32:1-11