Yer. 32:1 Swahili Union Version (SUV)

Neno hili ndilo lililomjia Yeremia, kutoka kwa BWANA, katika mwaka wa kumi wa Sedekia, mfalme wa Yuda, nao ulikuwa mwaka wa kumi na nane wa Nebukadreza.

Yer. 32

Yer. 32:1-11