Yer. 31:19 Swahili Union Version (SUV)

Hakika baada ya kugeuzwa kwangu, nalitubu; na baada ya kufundishwa kwangu, nalijipiga pajani; nalitahayarika, naam, nalifadhaika, kwa sababu naliichukua aibu ya ujana wangu.

Yer. 31

Yer. 31:9-21