Yer. 31:13 Swahili Union Version (SUV)

Ndipo bikira atafurahi katika kucheza, na vijana na wazee pamoja; maana nitageuza masikitiko yao kuwa furaha, nami nitawafariji, na kuwafurahisha waache huzuni zao.

Yer. 31

Yer. 31:9-18