Yer. 29:23 Swahili Union Version (SUV)

kwa sababu wametenda upumbavu katika Israeli, nao wamezini na wake za jirani zao, nao wamenena maneno ya uongo kwa jina langu, nisiyowaamuru; nami ndimi nijuaye, nami ni shahidi, asema BWANA.

Yer. 29

Yer. 29:14-30