Yer. 29:19 Swahili Union Version (SUV)

Kwa sababu hawakusikiliza maneno yangu, asema BWANA, ambayo naliwatuma watumishi wangu, hao manabii, nikiamka mapema, na kuwatuma; lakini hamkutaka kusikiliza, asema BWANA.

Yer. 29

Yer. 29:17-27