Yer. 27:11 Swahili Union Version (SUV)

Bali taifa lile watakaotia shingo zao katika nira ya mfalme wa Babeli, na kumtumikia, taifa hilo nitawaacha wakae katika nchi yao wenyewe, asema BWANA; nao watailima, na kukaa ndani yake.

Yer. 27

Yer. 27:2-16