Yer. 26:21 Swahili Union Version (SUV)

na Yehoyakimu, mfalme, na mashujaa wake wote, na wakuu wake wote, waliposikia maneno yake, mfalme akataka kumwua; lakini Uria alipopata habari, aliogopa, akakimbia akaenda Misri.

Yer. 26

Yer. 26:18-24