Yer. 26:11 Swahili Union Version (SUV)

Ndipo hapo makuhani, na manabii, wakawaambia wakuu na watu wote, wakisema, Mtu huyu amestahili kufa, kwa sababu ametabiri juu ya mji huu, kama mlivyosikia kwa masikio yenu.

Yer. 26

Yer. 26:9-15